VYUO VYETU TANZANIA

VyuoVyetu Tanzania





Sunday, September 2, 2012



 WANAFUNZI 10 MWAKA WA 5 UDAKTARI (MEDICINE) MUHIMBILI UNIVERSITY WALIOKUWA DISCONTINUED


Wakuu, kuna wanafunzi 10 waliomaliza mwaka wa 5 fani ya medicine (udaktari), wamekuwa discontinued kutokana na tangazo la dean school of Medicine Prof. Karim Manji, source ya kudiscontinue ni kutokusubmit elective report (hii ni research inayofanywa mwaka wa nne). Wanafunzi hao ambao wamemaliza ratiba zao za masomo na ilibidi wa graduate mwaka huu.
Name
sex
Reg no
MIHAYO, Gloria
F
2007-04-00434
ABED, Charles
M
2007-04-00319
SAID, Mbaraka
M
2007-04-00403
MAHUNDI, Salvatory
M
2007-04-00493
NYERERE, Semeni
M
2007-04-00517
RAMADHANI, Said
M
2007-04-00531
MAGESA, Jaralya
M
2007-04-00540
SAID Kizunzi
M
2007-04-00548
SALIM, Mohammed S.A
M
2007-04-00553
MY TAKE: 1: Activist, toeni solution ya jambo hili, inawezekana vipi mtu aliyesoma miaka mitano aje adisco kirahisi kiasi hichi
2: Prof karim manji, ni mtu hatari sana Muhimbili, ameshinikiza maamuzi haya, naomba journalist wafanye utafiti wa jambo hili
3: Wana JamiiPress naombeni tutoe way foward juu ya jambo hili, hasa ni kwa jisni gani linaweza kuwa solved,
4: watu wa Usalama wa taifa fanyeni uchunguzi juu ya jambo hili, hii ni hatari kwa haki wa watanzania wanafunzi walioamua kusoma fani hii ya udaktari kwa miaka mitano then wanadisco kirahisi hivi

No comments:

KILUVYA

KILUVYA
MASHONO

UDOM

UDOM
DODOMA UNIVERSITY