VYUO VYETU TANZANIA

VyuoVyetu Tanzania





Tuesday, August 28, 2012

Raia apigwa risasi ya kichwa MOROGORO

Jeshi la polisi Morogoro...... ni katika kuzuia vurugu zilizo tokea katika kituo cha msamvu wakati wakizuia makutano ya wanachama wa chadema katika eneo hilo la msamvu ilikuwa ni vurugu kubwa mpaka ikawafanya jeshi la polisi kutumia vyombo vya moto kuzuia makutano hayo na kusababisha raia mmoja kupigwa risasi ya kichwa kama unavyo ona pichani..Hata kusababisha abilia wengine kutoka katika mikoa tofauti kushindwa kutumia kituo hicho cha msamvu na wengine walio kuwapo katika kituo hicho kudhulika.
SERIKALI YETU.... IVI HAKUNA NJIA NYINGINE YOYOTE ILIYOSTAILI KUTUMIKA KUZUIA HAYO MAKUTANO?NAKUFANYA MTUMIA SILAHA...MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONII...AMINA

Tuesday, August 21, 2012

MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA CHUO CHUO CHA UHASIBU ARUSHA

MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA CHUO CHUO CHA UHASIBU ARUSHA KATIKA FANI MBALIMBALI KWA MWAKA WA MASOMO 2012/2013

The following candidates have been selected to join various programmes offered by the Institute of Accountancy Arusha for the 2012/2013 academic year.  The candidates are required to carefully read the admission information given below:

1.    Arrival
Candidates should report at the Institute on Monday, 1st October, 2012 for orientation week. Candidates reporting after 12th October, 2012 will not be registered.

For Masters Programmes Arusha Campus, orientation and registration will start on Monday, 24th September, 2012; and for Dar Campus, orientation and registration will start on 1st October, 2012.
Applicants who have been selected to join the certificate programmes are required to attend a 4 week bridging course which will starts on 3rd September, 2012.
2.    Classes
Classes begin on Monday, 8th October, 2012.
3.    Required Documents
All selected candidates must bring with them originals and two copies of their school leaving and academic certificates, a duly filled medical examination form, birth certificate, three identical colored passport size photographs and other documents relevant to their registration.
4.    Admission Letters

Admission Letters and Joining Instructions will be mailed through your respective addresses.  Selected candidates are required to pay relevant fees in advance before joining the Institute.  To expedite the process candidates may collect their letters from the Institute’s Admissions Office.


CERTIFICATES PROGRAMMES

BTCPLM
ORDINARY  PROGRAMMES

ODCS, ODBM, & ODPLM
POSTGRADUATE DIPLOMA PROGRAMMES

MASTERS PROGRAMES

Source: www.iaa.ac.tz

HAPA NI WALIOCHAGULIWA UD>CHUO KIKUU CHA DAR-ES-SALAAM


Click the link below to view the list of selected applicants into various postgraduate programs

Selections for Postgraduate Courses for 2012/13.

WALIOCHAGULIWA SAUT YEAR 2012/2013

1. LIST OF APPLICANTS SELECTED TO JOIN VARIOUS PROGRAMMESFOR ACADEMIC YEAR 20012/2013

2. JOINING INSTRUCTIONS FOR UNDERGRADUATE STUDENTS SELECTEDTO JOIN SAUT MAIN CAMPUS MWANZA FOR THE 2012/2013ACADEMIC YEAR

3. FEE STRUCTURE FOR SELECTED STUDENTS FOR ACADEMIC YEAR 2012/13

Monday, August 20, 2012

WASIOCHAGULIWA TCU


News

APPLICANTS WHO WERE NOT SELECTED IN THE 2012-2013 ADMISSIONS

 Applicants into the first round of applications for 2012-2013 admissions who were not selected due to various reasons are required to re-apply in the second round of applications.

PLEASE NOTE:
Applicants who are supposed to re-apply are not required to pay another application fee instead they will only be required to choose another program by logging into their accounts.

Please click here to view the list...
Click here to view all news.

Undergraduate Selections 2012/21013- IAA

Tembelea humo kujua IAA - http://www.iaa.ac.tz/09/index.php?op...=87&Itemid=112

List of Students Selected to Join undergraduate Programmes 2012-2013 UDOM

Tembelea web ya chuo: http://udom.ac.tz/index.php/list-of-...mmes-2012-2013

vyuo feki tanzania...jamii inatakiwa kuwa makini

Hii ndiyo orodha ya vyuo vinavayotambulika serikalini. Vyuovisivyokuwemo katika orodha hii ni feki, hivyo jamii inatahadharishwa kuwa makini.


Baadhi ya vyuo vinavyosimamiwa na VETA vimekuwa vikitoamafunzo ya diploma jambo ambalo ni kinyume na taratibu
KILA siku afadhali ya jana! mfumo wa elimu nchini bado unaendelea kugubikwa nachangamoto nyingi kila kukicha kutokana na watu wasio waaminifu kutumia vibayafursa za kuanzisha taasisi za elimu.

Kwa mfano, watu hawa wamekuwa wakianzisha vyuovisivyokidhi matakwa ya kisheria kiasi kwamba sio tu wanafunzi hupata elimuchini ya kiwango, lakini pia wanakosa kutambuliwa na mamlaka husika. 

Uchunguzi wa siku kadhaa wa Mwananchi umebaini pamoja na kujitangaza katika vyombo vyahabari, vyuo vingi vinavyotoa koziza cheti na diploma katika miji mikubwanchini hususan katika jiji la Dar es Salaam, havina sifa na havitambuliwi na mamlaka zinazosimamia elimuya ufundi nchini.

Kwa mujibu wa mfumo wa mafunzo na elimu nchini, Taasisi za elimu ya juu (Tertiary) zisizokuwa vyuo vikuu, zinapaswa kusajiliwana kupewa ithibati na Baraza la Taifa laUsimamizi wa Elimu ya Ufundi (NACTE). 
Aghlabu vyuo hivi ni vile vinavyotoa mafunzo ya kozi zacheti, diploma na baadhi katika miaka ya karibuni vimekuwa vikitoa mafunzo yakozi za shahada ya kwanza.

Mamlaka nyingine ambayo kwa mujibu wa sheria inapaswakusimamia mafunzo ya ufundi hasa kwa vyuo na taasisi zinazotoa mafunzo kwangazi ya cheti pekee ni Mamlaka ya Elimuna Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA).

Hata hivyo, kwamujibu wa uchunguzi, wakati vyuo vinavyosimamiwa na NACTE vikiruhusiwa kisheriakutoa mafunzo ya daraja la cheti, imebainika vyuo vingi vya hadhi ya chetivinavyosimamiwa na VETA, navyo vimekuwavikijitangaza na kutoa mafunzo yadiploma, jambo ambalo ni kinyume na taratibu.

Uchunguzi umegundua kuwa vyuo hivi ni vile vinavyotoa mafunzo katika fani za , Uongoziwa Biashara, Menejimenti ya hoteli, Utawala, Uhasibu, Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Teknohama), Utalii na Sayansi ya kompyuta.

Vipo pia vyuo vinavyodai kutoa kozi za diploma kwa usajiliwa vyuo vya nje hususan nchini Uingereza 
Kwa mujibu wa NACTE, vyuo vya uhasibu, biashara na utawalavinavyotambuliwa kwa hadhi ya ithibati kamili ni pamoja na Chuo cha Usimamiziwa Fedha (IFM), Taasisi ya Uhasibu Arusha, Chuo cha Elimu ya Biashara Dar esSalaam (CBE), CBE Dodoma, Taasisi ya Uhasibu Tanzania (Dar es Salaam,), Taasisiya Uhasibu Tanzania (Singida), Taasisi ya Uhasibu Tanzania (Mbeya), 

Vingine ni Utumishi Dar es Salaam, Taasisi ya Usimamizi waFedha Zanzibar, Chuo cha Mahakama Lushoto (ithibati ya muda), Utumishi Tabora,Taasisi ya Ugavi na Ununuzi Dar es Salaam (ithibati ya muda), Chuo cha Shukran, Chuo cha Kodi Dar es Salaam, ESAMI(ithibati ya muda) na Hombolo.

Upande wa vyuo vya kategori ya Kilimo, Maliasili naMazingira, kundi linalojumuisha pia vyuo vya utalii, taasisi zinazotambuliwakwa hadhi ya ithibati ni Tengeru, Mbegani, Chuo cha Wanyama Pasiansi, Chuo chaKilimo Uyole, Mweka, Chuo cha Misitu Olmotonyi, Taasisi ya mafunzo ya KilimoMtwara,.

Vyuo vingine ni Taasisi ya Uvuvi Nyegezi, Chuo cha Taifa chaUtalii, Mlingano, Ilonga, Tumbi Tabora, Taasisi ya Mifugo Morogoro, Ukiriguruna Chuo cha Mifugo Mpwapwa.

Kwa upande wa Uhandisi na Sayansi nyinginezo, kundilinalojumuisha vyuo vya Teknohama na Sayansi ya Kompyuta, vyuo vyenye ithibatini Taasisi ya Teknolojia ya Dar es Salaam, Chuo cha Ubaharia Dar es Salaam, MISAMbeya, Chuo cha Ufundi Arusha, Chuo cha ufundi Karume, Chuo cha Maji chaRwegarulila, Taasisi ya Ardhi Morogoro, Chuo cha Taifa cha Usafirishaji. 

Vingine ni Chuo cha Madini Dodoma, Chuo cha JR na Acharya,St Joseph cha Dar es Salaam, St Joseph Songea, Taasisi ya Kimataifa yaMawasiliano, Umeme na Kompyuta ya Kilimanjaro, Kituo cha kompyuta cha ChuoKikuu cha Dar es Salaam, Chuo cha Sukari Kidatu, Taasisi ya maendeleo ya jamiiMisungwi.

Vilivyo na ithibati ya muda ni Chuo cha Anga, Ardhi Tabora,chuo cha Learn IT na Institute for Information Technology Dar es Salaam. 

Aidha, vyuo vya kategori ya Uhasibu, Biashara na Utawala vilivyo na hadhi ya usajili kamili ni pamoja na Chuo cha Azania, TIA Mtwara, CBEMwanza, Taasisi ya Utawala wa Umma Zanzibar, na Aseki Dodoma. 

Vilivyo na usajili wa muda ni Taasisi ya Biashara Modern,RETCO Iringa, Shule ya Evin, Agape naChuo cha Biashara na Menejimenti (CBM).Kilicho katika usajili wamaandalizi ni Chuo cha Covenant chajijini Dar es Salaam.
Katika kundi la vyuo vya kilimo, maliasili na mazingira,vyuo vyenye usajili kamili ni Igarusi, Njuweni, Kilacha, Igabiro, Madaba naKizimbani Zanzibar.

Vilivyo na usajili wa muda ni Buhuri Tanga, Chuo cha Taifacha Utalii Arusha, Taasisi ya Mazingira na Masomo ya Maendeleo Dar es Salaam,Taasisi ya Maendeleo ya Utalii Zanzibar, Taasisi ya Utalii na Uongozi wa Hoteliya Victoria.
Vyuo vyenye usajili wa maandalizi ni Chuo cha Sinon na Taasisi ya Masomo yaHoteli na Biashara Dar es Salaam.

Kundi la Uhandisi na sayansi, vyuo vyenye usajili kamili niChuo cha Reli Tabora, Chuo cha Bandari, Chuo cha Suram, Techno Brain, MabughaiCDTTI na University computing centres (Arusha, Mwanza, Dodoma na ).

Vyuo vilivyo na usajili wa muda katika kundi hili ni Chuo cha Hali ya Hewa Kigoma, RegionalAviation College, Unique Computing Centre, Chuo cha Desktop, Chuo cha Mafunzoya Utafiti cha Gataraye, Chuo cha Al Maktoum, Taasisi ya Al Muntazir, Chuo chaUokoaji Dar es Salaam na United Tanzania Aeronautics College.
Kwa mujibu wa taratibuza NACTE, vyuo vilivyo na ithibati, usajili kamili na usajili wa muda ndivyovinavyoruhusiwa kudahili wanafunzi.

MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU


Tamko la vijana wa CHADEMA kuhusu mwelekeo wa Taifa na Chama
SUALA LA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU
Serikali imeshindwa kuendeleza elimu ya juu kinyume na ahadi zake. Hili linathibitishwa na mapungufu yafuatayo.
Mosi, Ilani ya CCM ya mwaka jana - 2005, iliahidi kuwa itawawezesha vijana wakitanzania wapatao elfu thelathini (30,000) kupata mikopo ya elimu ya juu kila mwaka. Kwa mujibu wa matokeo ya wanafunzi waliohitimu kidato cha sita mwaka jana, idadi ya wahitimu waliopata sifa za kujiunga vyuo vikuu ni takribani elfu ishirini. Tulitegemea kwa kuwa ahadi ya CCM ni kuingiza vyuoni wanafunzi elfu thelathini, basi, wanafunzi wote elfu ishirini waliokuwa na sifa wangepatiwa mikopo, lakini hilo halikufanyika.
Pili, mamia ya wanafunzi walirudishwa nyumbani kwa madai kuwa serikali haiwezi kuwapa mkopo ilhali walikuwa wameshaanza masomo. Kwa chuo kikuu “Mlimani” peke yake zaidi ya wanafunzi 300 walirudishwa nyumbani kwa kisingizio cha serikali kukosa pesa za kuwasomesha wakati walikwishapata nafasi za kusoma chuo kikuu na kuanza masomo.
Tatu, utaratibu uliotumika kuomba nafasi za masomo ya elimu ya juu na baadaye kuomba mkopo ulikuwa wa kutiliwa shaka kiasi cha kujenga mazingira ya serikali kuwalaghai vijana wake. Kabla ya matokeo ya kidato cha sita kutoka, vijana waliambiwa wanunue fomu za kujiunga na vyuo vikuu kwa madai kuwa kila atakayetimiza masharti ya kujiunga chuo kikuu atapatiwa mkopo. Katika hili vijana wengi wametapeliwa kwani kwa wale ambao hawakufikisha alama za kujiunga chuo kikuu tayari walikuwa wamepoteza elfu ishirini kwa kununua fomu kwa chuo kimoja, na wapo waliopoteza fedha nyingi zaidi kutokana na kuomba vyuo zaidi ya kimoja.
Nne, kulikuwa na gharama za kupata vyeti vya kuzaliwa ambazo vijana wengi hasa wa vijijini walilazimika kulipia ili kupata vyeti vyao na vya wazazi wao. Kulikuwa na gharama za kulipia fomu za mikopo 10,000/=, kusafirisha ama kusafiri kwenda vyuoni kuwasilisha fomu za kuomba mikopo na gharama kubwa za usumbufu wa kutimiza masharti ambayo ni pamoja na kugonga mihuri ya viongozi wa vijiji, kata na dini. Gharama hizi zikijumlishwa ni kubwa sana kwa watu masikini.
Tano, serikali ilibadilisha ghafla masharti ya mikopo. Awali, mikopo ilipaswa kutolewa kwa wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya elimu ya juu lakini, masharti yakabadilishwa kufanya wanaostahili mikopo kuwa ni wale wanaofayulu kwa kiwango cha daraja la kwanza “division one”wavulana na daraja la kwanza na la pili “division two” kwa wasichana.
Katika mchujo huo, vijana wengi waliokuwa na sifa za kujiunga vyuo vikuu walijikuta wakikosa mikopo na hatimaye kulazimika kurudi vijijini walikotoka. Kwa mara ya pili wanafunzi wakatapeliwa tena.
Sita, uamuzi wa serikali kuamua kuwa mkopo utakaotolewa kwa kila mwanafunzi ni asilimia 60 tu, na kwamba mwanafunzi anatakiwa kujilipia asilimia 40 zilizobaki ni mfano mwingine wa sheria kandamizi kwa vijana wanaotoka familia masikini. Kwa mzazi maskini aliyepata shida kumlipia kijana wake gharama za sekondari, gharama ambazo kwa wastani ni shilingi laki moja, haiyumkiniki aweze kumlipia kijana wake asilimia 40 ya gharama za chuo kikuu ambazo ni zaidi ya shilingi laki nne!
Vijana wa CHADEMA tunatoa mwito kwa vijana wote ambao kwa namna mmoja au nyingine walitapeliwa na serikali kuwasilisha malalamiko yao CHADEMA kwa ajili ya kuanza ufuatiliaji. Tunaahidi kushirikiana na vijana watakao jitokeza kuishinikiza serikali kwasababu tunaamini kuwa serikali inao uwezo wa kutosha kugharamia gharama za masomo kwa wanafunzi wote lakini yanakosekana mambo mawili;
Kwanza ni serikali kutokuwa na mkakati makini wa kuwasaidia vijana lakini pia kutokuwepo kwa jitihada za pamoja za vijana kuishinikiza serikali mpaka kieleweke. Katika hili, tunaiasa serikali iachane kabisa na mpango ilioutangaza wa kununua ndege nyingine ya rais, na badala yake fedha hizo zielekezwe kwa wanafunzi waliokosa mikopo ili wapate fursa ya elimu ya juu.
Pia, kwa kuwa mchakato wa kuandaa bajeti ya mwakani unaanza mara baada ya mwaka wa fedha wa sasa, tunaitaka serikali ihakikishe inatimiza ahadi yake ya kuhakikisha vijana 30,000 wanaingia chuokikuu, na waliopo wanapata mikopo kwa asilimia mia moja. Tunaitaka serikali itenge bilioni 195 kwaajili ya mikopo kwa wanafunzi wapya 30,000 na waliopo ambao ni takribani 35,000 wanaendelea kupata mikopo.

Sunday, August 19, 2012

BIMA YA AFYA KWA WANACHUO WOTE TANZANIA


Huduma kwa Wanachuo

Utangulizi.
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya pia unasimamia huduma za matibabu kwa Wanafunziwa Vyuo vya Elimu ya juu nchini kote. Utaratibu huu unalenga kuwapa Bima ya Afya wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu popote nchini ambapo mwanafunzi atapata huduma za matibabu wakati atakapokuwa masomoni na wakati wa likizo katika muhula husika.Huduma za matibabu kwa wanafunzi zinapatikana katika Hospitali,Vituo vya Afya, Zahanati na Maduka ya Dawa yaliyosajiliwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Tanzania.
Utaratibu wa Kujiunga.
  • Wanafunzi wanaandikishwa chini ya udhaimi wa chuo husika kama Taasisi.
  • Kutakuwa na Mkataba maalumu wa maridhiano kati ya Taasisi husika(Chuo) na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya.
  • Mkataba kati ya mwanafuni na NHIF ni wa kipindi cha miaka mitatu , ambao unarejewa kila mwaka.
  • Huduma za matibabu kwa wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu hazihusishi wenza wao wala wategemezi.
Michango.
  • Chini ya utaratibu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, mwanafunzi husika anatakiwa kuchangia Shs 4,200 kwa Mwezi sawa na Shs 50,400 kwa Mwaka.
  • Wanafunzi ambao tayari wana vitambulisho vya matibabu vya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, hawatahusika na uchangiaji huu kwa kuwa wao tayari ni wanachama wa Mfuko.
  • Taasisi husika (Chuo) ndiyo yenye dhamana ya kuwasilisha michango ya wanafunzi watakaoandikishwa chini ya utaratibu huu.
  • Michango ya kila mwezi ya wanufaika wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya inatakiwa kuwasilishwa katika Ofi si za Kanda zilizopo karibu.
  • Jinsi ya Kujisajili.
  • Mwanafunzi atajaza fomu ya kujisajili,
  • Atatakiwa kuleta picha mbili za ukubwa wa pasipoti
  • Mwanafunzi atapata kitambulisho cha matibabu ambacho atakitumia kwa ajili ya matibabu.
Mafao yanayotolewa
Wanafunzi wa Vyuo vya ELimu ya Juu waliojiunga na NHIF watanufaika na mafao yote KUMI na MOJA yanayotolewa na Mfuko.
Ikumbukwe kuwa mwanafunzi akishamaliza masomo anawajibika kurejesha kitambulisho cha matibabu cha NHIF kwenye chuo alikojiandikisha

TANZANIA NDANI YA MISS WORLD


  
Yu Wenxia 23 years ndiye aliyeibuka MISS WORLD 2012 kutoka china

Aliyepo juu ni miss TANZANIA LISSA JENSEN akipewa bendera na mr lundenga siku chache kabla mashindano hayo kuanza..Lissa alipata nafasi ya kuingia 56 bora za dunia ambayo ni nzuri sana kwa upande wa Tanzania ni hii inaonyesha wazi kuwa Tanzania napo kuna warembo na tunaweza pia..bila shaka itachukuliwa kama changamoto katika mashindano mengine yatakayo fanyika miaka mingine na hatimaye tanzania kufika katika nafasi za juu zaidi mwishowe TANZANIA kotoa miss world.

Top 56

Friday, August 17, 2012

UDOM STILL INAJENGWA.....



Chuo Kikuu cha Dodoma, ni chuo kikuu ambacho bado kinajengwa mjini Dodoma, Tanzania. Ujenzi unafanyika katika kipande cha ardhi cha hekta 6,000 karibu na Dodoma kilomita 400 magharibi mwa mji wa Dar es Salaam.
Mafunzo yalianza mwaka 2007, wakati wanafunzi zaidi ya , walijiunga na programu zilizotolewa katika vyuo vya Humanities, Sayansi ya Ujamaa, Elimu na 'Informatics and Virtual Education'. Vyuo vya Sayansi ya Maisha na Afya na Sayansi zinazolingana zilianzihswa mwaka.
Sambamba na Maono ya Nchi ya Maendeleo ya 2025, Chuo Kikuu cha Dodoma, kikishamalizika kamili, kitaweza kuwachukua wanafunzi 40,000 katika taaluma mbali mbali. Hii ni zaidi ya mara mbili ya ukubwa wa sasa wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Hata hivyo, chuo kikuu cha Dodoma bado kiko katika maendeleo.
                                                                  UDOM 


                                            0.2 ya 10 ya eneo moja la chuo 

Thursday, August 16, 2012

RIP MISS FROM IFM


TUTAKUKUMBUKA SIKU ZOTE AGNESS

Marehemu Agnes B. King’unza enzi za uhai wake.
Mwili wa Marehemu Agnes ukiwa kanisani kwa heshima za mwisho.
Mama mzazi wa Agnes akilia kwa uchungu baada ya kuona mwili wa mwanae.
Baba mzazi wa marehemu Agnes, Bwana Bernard King’unza (mwenye koti jeusi kulia).
Baadhi ya wanafunzi waliokuwa wakisoma na marehemu katika Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM). 

MWANAFUNZI wa Chuo Kikuu Cha Usimamizi wa Fedha, (IFM) jijini Dar es Salaam, Agnes B. King’unza (pichani), amefariki dunia katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kuokotwa akiwa hajitambui katika ufukwe wa Bahari ya Hindi jirani na Coco Beach.
Habari za kipolisi zinasema Agnes alitekwa kisha akaokotwa na msamaria mmoja ambaye kwa taarifa za awali anatajwa kuwa ni mlinzi wa nyumba moja maeneo ya Coco Beach, ambako ndiko alikokutwa akiwa hajitambui.
“Polisi na hata watu wengine wanahisi kuwa msichana huyo alitekwa kisha kutupwa na watu wasiofahamika, baada ya kufanyiwa ukatili wa kutisha kwa kunyweshwa kitu kinachodhaniwa kuwa ni sumu,” kilisema chanzo chetu cha habari ndani ya jeshi la polisi.
Habari zinasema baadaye mwanafunzi huyo ambaye alikuwa akichukua shahada ya mambo ya kodi, alipelekwa Kituo cha Polisi cha Oysterbay kisha askari hao wakamkimbiza Hospitali ya Agha Khan kwa matibabu.
Hata hivyo, habari zinasema madaktari wa Agha Khan baada ya kuona hali ya mgonjwa ilikuwa mbaya, walimpa rufaa na kumpeleka katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa uchunguzi na matibabu zaidi.
“Agnes alifariki jioni ya Julai 16, mwaka huu katika Hospitali ya Muhimbili na habari za kifo chake zilisababisha Chuo cha IFM kuzizima kwa wanafunzi kumlilia mwenzao,” kilisema chanzo hicho.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, ACP Charles Kenyela alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na akasema kwamba wasamaria wema walisema waliona Bajaj ikifika eneo alilotupwa Agnes wakadhani wanatupa mzigo.
“Walipokwenda kuangalia wakakuta ni mtu akiwa hoi hajitambui. Baada ya kupelekwa hospitali siku ya pili alikuja mama mdogo wa marehemu Agnes aitwaye Veronica Galus na akaleta taarifa kuwa binti yao huyo amefariki dunia. Polisi tunaendelea na uchunguzi kuwatafuta wahusika,” alisema Kenyela. Hata hivyo, kifo hicho kimeacha maswali mengi kuwa binti huyo alilishwa nini na nani?
Mzazi wa marehemu aliyetajwa kwa jina la Bernad King’unza mkazi wa Kimara Dar, hakupatikana kwa maelezo kwamba alikuwa safarini Iringa kwenye mazishi ya mpendwa wao huyo yaliyofanyika nyumbani kwao Kalenga, Iringa Julai 19, mwaka huu.

NOTICE TO 2012/13 LOAN APPLICANTS

                                                     NOTICE TO 2012/13 LOAN APPLICANTS
During the exercise of processing 2012/13 loan application forms the Board has identified loan applications which are missing some vital information. Therefore the Board would like to inform these students that such incomplete applications will not be considered.

Loan applicants from this group shall be required to come to the Board to collect their incomplete forms, go, update and return them to the Board. No loan shall be allocated to such student before returning the updated application form. Applicants who have not signed their documents are required to report to HESLB offices at Tirdo Complex, Kimweri Road, Msasani- Dar es Salaam for further details.

Applicants who have not attached (to their application forms) guarantor’s particulars such as photocopy of Passport or voter’s registration card or passport size photograph should send the missing particulars to the Board with a covering letter indicating their full names and form four index numbers through the following address:

The Executive Director
Higher Education Students’ Loans Board
P. O. Box 76068
DAR ES SALAAM.
N:B:
The Board is providing a period of two weeks starting 15th August, 2012 to correct the shortcomings.
All documents must be certified by a Commissioner of Oaths.

Wednesday, August 15, 2012

CHANGES....UDOM SUPPLIMENTARY EXAMINATIONS

UDOM SUPPLEMENTARY EXAMINATIONS FOR 2011/2012 ACADEMIC YEAR
Be informed that Supplementary Examinations for 2011/12 Final Year students of the University of Dodoma shall now be held from Monday 3rd September, to Friday 7th September 2012 in order to allow for full participation in the National Census.

ISSUED BY THE OFFICE OF THE DEPUTY VICE CHANCELLOR- ACADEMIC, RESEARCH AND CONSULTANCY (DVC-ARC)
14TH AUGUST 2012
source; www.udom.ac.tz

Tuesday, August 14, 2012

DAR-ES-SALAAM yetu iyoooo kama mbele vile,,,,,jaribu kutembelea mchana hapatakuwa hivyoo utahisi umepotea..hehehe karibuni sana DAR

Friday, August 10, 2012

REQUIREMENTS FOR NEW CANDIDATES FOR 2012/2013

The Institute of Accountancy Arusha for the 2012/2013 academic year.  The candidates are required to carefully read the admission information given below:

1.    Arrival

Candidates should report at the Institute on Monday, 1st October, 2012 for orientation week. Candidates reporting after 12th October, 2012 will not be registered.

For Masters Programmes Arusha Campus, orientation and registration will start on Monday, 24th September, 2012; and for Dar Campus, orientation and registration will start on 1st October, 2012.
Applicants who have been selected to join the certificate programmes are required to attend a 4 week bridging course which will starts on 3rd September, 2012.

2.    Classes
Classes begin on Monday, 8th October, 2012.

3.    Required Documents
All selected candidates must bring with them originals and two copies of their school leaving and academic certificates, a duly filled medical examination form, birth certificate, three identical colored passport size photographs and other documents relevant to their registration. 

4.    Admission Letters

Admission Letters and Joining Instructions will be mailed through your respective addresses.  Selected candidates are required to pay relevant fees in advance before joining the Institute.  To expedite the process candidates may collect their letters from the Institute’s Admissions Office.

Wednesday, August 8, 2012

HAKI YA WALIMU KWANZA KISHA MENGINE BILA HIVYO HAKUTAKUWA NA WASOMI TZ

Serikali ichukue hatua juu ya jambo hilii....hatutaweza kufika mbali kama walimu wanaotupatia elimu hawana maisha mazuri, na mshahara mdogo pia....MWALIMU NI BORA ZAIDI MMBUNGE

SONGEAAAA IT'S NICHUM TIME,,,,,,,

ujasilia mali kwa vijana wanachuo inawezekana ukiweka nia na ukitakacho kufanya lazima utafanikiwa...3 brother from IFM ikishirikiana na bright fame wanakuletea NICHUM baaba yaMwezi mtukufuu kuiishaa tuu,wanasongea wote makutano ya kumshkuru mungu na kufurahi yatakuwa hapaa... JICHANGEEE USIKOSEEEE

FEES STRUCTURE FOR IFM STUDENTS

FEES STRUCTURE FOR IFM STUDENTS
(APPLICABLE TO TANZANIAN STUDENTS ONLY)

TYPE OF COURSE TUITIONTUITION Tshs/ US $/GB £IFMSO
Tshs
CAUTION
Tshs
REG.
Tshs
FIELD WORK
Tshs
TOTAL
Tshs/US $/G
Basic Certificate800,00010,00050,00050,0000910,000
Ordinary Diploma1,200,00010,00050,00050,000100,0001,410,000
3Ordinary Diploma in IT & CS1,400,00010,00050,00050,000100,0001,610,000
4Bachelor Degree1,500,00010,00050,00050,000100,0001,710,000
5Bachelor Degree in IT & CS1,700,00010,00050,00050,000100,0001,910,000
6BSc Computer Science (Dublin - Ireland)€90010,00050,00050,000€900 + Tshs 110,000
7Postgraduate Diploma2,000,00010,00050,00050,000300,0002,410,000
8Master Business Administration-IB 2yrsUS $ 6,00010,00050,00050,000400,000US $ 6,000 + Tshs 510,000
9MBA-IB (Non Tanzanians) 2yrsUS $ 8,50010,00050,00050,000400,000US $ 8,500 + Tshs 510,000
10MSc. FinanceGB £ 3,75010,00050,00050,000400,000GB £ 3,750 + Tshs 510,000
11MSc. Information Technology & ManagementUS $ 6,00010,00050,00050,000400,000US $ 6,000 + Tshs 510,000
12MSc.IT & Management (Non Tanzanian's)US $ 6,60010,00050,00050,000400,000US $ 6,600 + Tshs 510,000

MAKUTANO YA WANAFUNZ WA UDOM

Eneo ni kubwa sana inayochukua karibu wanafunzi wote kutoka katika faculty tofauti ni wakati wa vyuo vingine kuiga mfano wa UDOM.

Monday, August 6, 2012

 SUPPLEMENTARY EXAMINATIONS FOR  2011/2012 ACADEMIC YEAR(IFM)

Be informed that Supplementary Examinations for undergraduate  of IFM shall start on  3rd August 2012.

KILUVYA

KILUVYA
MASHONO

UDOM

UDOM
DODOMA UNIVERSITY