VYUO VYETU TANZANIA

VyuoVyetu Tanzania





Sunday, October 28, 2012

TUMUOMBEE MTOTO HUYU..JULIANA MWINUKA

JULIA HUYU HAPA siku YA JUMATATUU ALIFANYIWA OPARESHENI CCBRT

Mtoto  Juliana Mwinuka
 
Majeraha  yaliyotokana na kuungua moto klatika  uso wa mtoto  mtoto  Juliana Mwinuka (16) mkazi  wa kitongoji cha Ushindi kata ya Mavanga  wilaya ya  Ludewa  mkoa  wa Njombe yameanza kuziba taratibu huku leo anategemea  kukutana na madaktari bingwa duniani ambao  wamewasili katika Hospitali ya CCBRT .

Kila mmoja  wetu tunaomba aendelee  kumwomba Mwenyezi Mungu kwa  dini yake ili kuweza  kutenda miujiza  ili mtoto  huyo aweze kupona.

 Mtandao huu unaendelea kuwapongeza wote wanaoendelea kuguswa na kuungana na wadau wengine kumchangia fedha za matibabu ,mtoto Juliana kama anavyoonekana akiwa ameunga uso wake kwa moto ni yatima anahitaji msaada wako ili kunusuru maisha yake waweza kutuma mchango wako kwa njia ya M-PESA katika namba hii 0754 026 299 au Tigo Pesa 0712 750199 namba hizi ni za mmiliki wa Bw Francis Godwin

Nawaomba tuungane kufanikisha kuokoa maisha ya mtoto Juliana Mwinuka na Mungu atatuongezea zaidi

No comments:

KILUVYA

KILUVYA
MASHONO

UDOM

UDOM
DODOMA UNIVERSITY