VYUO VYETU TANZANIA

VyuoVyetu Tanzania





Monday, January 14, 2013

KAMANDA KOVA azungumza na Wanafunzi wa IFM

                    Wanafunzi Baada ya kufika Wizara ya Mambo ya ndani  wakimsubiri RPC
 Rais wa serikali ya wanafunzi wa IFM  Michael S.Charse akijaribu kumuelewesha kamanda  KOVA kero inayo wakumba wanafunzi wa Ifm waishio kigamboni.
 Afande KOVA akizungumza na wanafunzi wa IFM pamoja na vyombo vya habari.


Wanafunzi wakielekea kigamboniii woteee kwa nguvu mojaaa tumechoka tumechoka

No comments:

KILUVYA

KILUVYA
MASHONO

UDOM

UDOM
DODOMA UNIVERSITY